VIGEZO NA MASHARTI

Upatikanaji na utumiaji wa ‘SHAKTech143‘ ndani na nje ya Tanzania unawezeshwa na SHAKTech143 (watumiaji wa kimataifa na kitaifa wanaweza kutupata katika mitandao ya kijamii, kwa masharti yafuatayo: 

1. Kwa kutumia SHAKTech143‘ unakubaliana na kanuni hizi, ambazo zinaanza kutumika mara tu unapoanza kuingia SHAKTech143‘. Endapo haukubaliani na yote tafadhali usiingie, kutumia na /au kuchangia katika majukwa ya SHAKTech143‘. 

2. SHAKTech143 inaweza kubadilisha masharti haya mara kwa mara kwa hiyo zingatia na kufatilia mara kwa mara. Utumiaji wako wa SHAKTech143‘ utachukuliwa kuwa kukubaliana na masharti yaliyoongezwa au kubadilishwa. Endapo haukubaliani, unatakiwa kuacha kutumia tovuti hii. Endapo kuna mgongano wowote kati ya masharti haya na masharti yanaweza kuonekana sehemu nyingine za SHAKTech143‘ (ikiwa ni pamoja na taratibu za kurasa) hivyo kwa mapya na yanayohusika zaidi yatatumika.

Utumiaji

1. Unakubali kwa kutumia SHAKTech143‘ kwa shughuli zinazokubalika kisheria, na vyovyote vile isizuie haki, kukataza mtu yoyote kutumia na kufaidi SHAKTech143‘. 

2. Mambo yanayokatazwa ni pamoja na unyanyasaji au kusababisha tabu au usumbufu kwa mtu yoyote, kusambaza maudhui yenye matusi au kuvuruga mtiririko wa kawaida ndani ya SHAKTech143‘. 

3. Kuleta hoja ambazo hazikubaliwi ndani ya SHAKTech143‘ kwa manufaa yako mwenyewe au kwa kutaka kuvuruga amani ya watumiaji wa SHAKTech143‘.

Haki ya Mali Akili 

1. Haki miliki zote, nembo za biashara, haki za usanifu, hateza na haki nyingine za mali akili (zilizosajiliwa na ambazo hazijasaliwa) kwenye maudhui ya SHAKTech143‘ na maudhui yote (ikiwa ni pamoja na programu) zilizoko kwenye tovuti ambazo zitaendelea kuwa mali ya SHAKTech143 au wenye leseni wengine (ambao pia ni pamoja na watumiaji wengine), vitu vifuatavyo Haviruhusiwi:-
  •  kunakili,
  •  kuchapisha upya,
  •  kupangua,
  •  kubadilisha kihandisi,
  •  kupakua,
  •  kutuma,
  •  kutangaza,
  •  kurusha au kutoa kwa umma kwa kubadiri,
au vinginevyo kutumia maudhui ya SHAKTech143‘ kwa jia yoyote isipokuwa kwa matumizi yako binafsi na isiwe matumizi ya kibiashara au kwa matumizi mabaya au lengo baya.

2. Pia unakubali kutokukabiliana, kubadilisha au kutengeneza kazi nyingine kutokana na maelezo yoyote ya SHAKTech143‘ isipokuwa tu kwa matumizi yako binafsi yasiyo ya kibiashara pia kwa masomo. Matumizi mengine yoyote ya maelezo ya SHAKTech143‘ yanahitaji idhini rasmi ya SHAKTech143 kimaandishi. 

3. Majina, picha na nembo zinaitambulisha SHAKTech143, SHAKTech143 Media au pande nyingine na bidhaa zao na huduma zinalindwa na hakimiliki, haki ya kubuni, na alama za SHAKTech143 Media au pande nyingine. Hakuna sehemu ya masharti haya itakayochukuliwa kama ni kutoa leseni yoyote au haki ya kutumia alama yoyote ya kibishara, haki ya kubuni au haki miliki ya SHAKTech143 Media au upande mwingine wowote ule.

Michango kwa SHAKTech143

1. Kwa kubadilishana mchango wowote (ikijumuisha maandishi yoyote yale, picha, michoro, picha za sinema au sauti) na SHAKTech143, unaridhia kuipa SHAKTech143, kibali pasipo malipo, idhini ya kutumia mchango huo kwa namna yoyote ile inavyotaka (ikijumuisha kurekebisha na kubadili mchango au kuukataa mchango huo kwa sababu za kiutendaji na kiuhariri) kwa ajili ya huduma za SHAKTech143 katika chombo chochote kile cha habari ulimwenguni kote (ikijumuisha katika tovuti ya SHAKTech143 inayopatikana kwa watumiaji wa kimataifa/kitaifa). Katika mazingira mengine SHAKTech143 huenda ikabadilishana mchango wako na watu wengine au pande nyingine zinazoaminika Zaidi.

2.Hakimiliki katika mchango wako itabakia kuwa yako na idhini hii si ya kipekee, hivyo unaweza kuendelea kutumia mchango huo katika namna yoyote ile ikiwemo kuruhusu wengine kuutumia na pia kama ni mazuri pia hata SHAKTech143‘ wanaweza kuutumia.

3. Ili SHAKTech143 iweze kutumia mchango wako, unathibitisha kuwa mchango wako ni kazi halisi yako mwenyewe, haidhalilishi na haikiuki sheria zozote za Uingereza na Tanzania, kwamba unahaki ya kuipa SHAKTech143 idhini ya kutumia mchango huo kwa madhumuni maalum yaliyotajwa hapo juu, na kwamba una ridhaa ya mtu yeyote yule anayeweza kutambulika katika mchango wako au ridhaa ya mzazi wako au mlezi iwapo una umri wa chini ya miaka 15 au hauja barehe.

4. Kwa kawaida tunaonyesha jina lako sambamba na mchango wako, labda uwe umeomba vinginevyo, lakini kwa sababu za kiutendaji wakati mwingine haiwezekani kutekeleza ombi lako. SHAKTech143 huenda ikahitaji kuwasiliana na wewe kwa madhumuni ya kiutawala na uhakiki kuhusiana na mchango wako au kuhusiana na miradi maalum. Kwa maelezo yote ya wakati na jinsi gani tunaweza kuwasiliana nawe tafadhali angalia [Sera ya Faragha ya SHAKTech143] pamoja na masharti yoyote yale katika nchi uliopo pale yanapohitajika kwa usalama zaidi.

5.Tafadhali usijihatarishe wewe mwenyewe au wengine, kuchukua hatari yoyote ile isiyo na ulazima au kuvunja sheria yoyote ile wakati unaandaa mchango wako ambao huenda ukabadilishana na SHAKTech143.

Hakimiliki

1. Haki miliki zote, alama za biashara, haki za kubuni na haki nyingine zote za kazi za ubunifu (zilizosajiliwa au kutosajiliwa) ndani na katika SHAKTech143‘ na maelezo yote (ikijumuisha matumizi yote) yaliyowekwa katika tovuti vitabakia kuwa chini ya SHAKTech143 na au waliopewa kibali cha leseni na SHAKTech143 (ikijumuisha watumiaji wengine). Huruhusiwi kunakili, kutoa nakala, kuchapisha upya, kupangua, kuunda upya, kupakua, kutuma, kutangaza, kusambaza, kuwezesha kupatikana kwa umma au vinginevyo kutumia maelezo ya SHAKTech143‘ kwa namna ambayo ni nje ya matumizi yako binafsi, yasiyolenga kibiashara na kuvuruga amani ya mwenzako. Pia unakubali kutokukabilina, kubadilisha au kutengeneza kazi nyingine kutokana na maelezo yoyote ya SHAKTech143‘ isipokuwa tu kwa matumizi yako binafsi, yasiyo ya kibiashara au kuvuruga amani ya mwenzako. Matumizi mengine yoyote ya maelezo ya SHAKTech143‘ yanahitaji idhini rasmi ya SHAKTech143 kimaandishi. 

2. Majina, picha na nembo zinaitambulisha SHAKTech143, SHAKTech143 Media au pande nyingine na bidhaa zao na huduma zinalindwa na hakimiliki, haki ya kubuni, na alama za SHAKTech143, SHAKTech143 Media au pande nyingine. Hakuna sehemu ya masharti haya itakayochukuliwa kama ni kutoa leseni yoyote au haki ya kutumia alama yoyote ya kibishara, haki ya kubuni au haki miliki ya SHAKTech143,  SHAKTech143 Media au upande mwingine wowote ule. Iwapo hutaki kutoa ruhusa kwa SHAKTech143 kulingana na masharti yaliyotajwa hapo juu, tafadhali usiwasilishe au kubadilishana mchango wako na SHAKTech143‘. 

3. Katika tukio la mchango unaohusiana na habari tafadhali kumbuka kuwa huenda SHAKTech143  ikabadilishana na washirika au mashirika ya utangazaji yanayo heshimika ambayo hayaruhusiwi kubadili maelezo kwa namna yoyote ile au kuyatoa kwa mashirika mengine ya utangazaji ya Tanzania na nje ya Tanzania au ya uchapishaji. 

4. Iwapo una maswali yoyote yale kuhusu maelezo ya mchango unaotolewa kwa SHAKTech143, tafadhali angalia Maelezo Yanayotokana na SHAKTech143 au Maswali Yanayoulizwa Mara kwa Mara na Watumiaji wa SHAKTech143

 5. Ili kushiriki na kutoa mchango katika sehemu zilizochaguliwa za kijamii katika SHAKTech143‘ (ikiwemo ubao wa ujumbe na blogs) huenda ukahitajika kujisajili. Maelezo yoyote yale ya kibinafsi yanayotolewa kwa SHAKTech143‘ kama sehemu ya mchakato wa usajili huu au mwiingiliano wowote ule na SHAKTech143‘ yatachukuliwa, kuhifadhiwa na kutumiwa kulingana na sera ya faragha ya SHAKTech143. [Privacy Policy].

Kanuni za Jumuiya

Unakubali kushiriki katika jumuiya zilizopendekezwa za SHAKTech143‘ kulinga na Kanuni za Jumuiya za SHAKTech143 zilizoorodheshwa hapa chini: 

1. Kuhusu michango yako:-
 1.1. Michango ni lazima iwe ya kiistaarbu na yenye mvuto. 

1.2 Mwenendo wa usumbufu, kuchukiza au matusi hauruhusiwi: michango lazima iwe ya kujenga na yenye heshima, isiwe na lengo baya au iliyotolewa kwa kusudi la kusababisha kero.

1.3 Mchango ulio kinyume cha sheria hauruhusiwi: michango iliyo kinyume cha sheria ni kama, usumbufu, udhalilishaji, unyanyasaji, vitisho, matusi, yenye lengo la kimapenzi, ubaguzi wa rangi, dini, ukabira au vinginevyo haikubaliki. 

1.4 Uwe mvumilivu: Watumiaji wa rika zote na uwezo huenda wakaweza kushiriki katika jumuiya husika za SHAKTech143 community. 

1.5 Michango iliyo nje ya mada au yenye lengo la uvurugaji hairuhusiwi: haturuhusu kuwasilisha mchango ambao umeshatumika au unaofanana sana mara nyingi. Tafadhali usiwasilsilishe mchango wako kwa kutaka usikilizwe sana au kuchangia maelezo yaliyo nje ya mada katika maeneo maalum. 

1.6 Hairuhusiwi matangazo ya haina yoyote au kujitangaza. 

1.7 Michango iliyo katika lugha nyingine zaidi ya (lugha yako mfano Kiswahili na kingereza) huenda ikaondolewa isipokuwa pale imeruhusiwa katika sheria za eneo au nchi husika.

1.8 Hairuhusiwi kujiigiza kuwa mtu mwingine. 

1.9 Hairuhusiwi majina yasiyokubalika. (mfano yenye kuchukiza)

1.10 URLs (anuani za tovuti) zinaweza tu kutumwa au kuwasilishwa iwapo imeruhusiwa na katika kanuni zozote zile za shirika husika.

1.11 Kutumia vibaya kwa makusudi sehemu ya kuwasilisha malalamiko hairuhusiwi. Iwapo utaendelea kufanya hivyo, hatua itachukuliwa dhidi ya akaunti yako.

1.12 Akaunti yako ya SHAKTech143: Iwapo unatumia logins zaidi ya moja kwa lengo la kuivuruga jumuiya au kuwaudhi watumiaji wengine, huenda ukachukuliwa hatua dhidi ya akaunti zako zote. Akaunti zote lazima zisajilliwe na anwani binafsi ya barua pepe iliyo sahihi ambayo unaitumia mara kwa mara ili barua pepe (emails) ziweze kutumwa kwako(updates).

1.13 Akaunti zilizosajiliwa kwa kutumia anwani ya barua pepe ya mtu mwingine, au anwani ya barua pepe ya muda huenda zikafungwa pasipo kutolewa taarifa. Huenda tukahitaji watumiaji wathibitishe tena akaunti zao iwapo tunaamini kuwa wamekuwa wakitumia anwani ya barua pepe siyo sahihi.

1.14 SHAKTech143 ina haki ya kuzifunga akaunti iwapo mtumiaji yeyote anaonekana kuwa anatumia wakala IPS (Internet Protocol addresses) ili kujaribu kuficha matumizi ya akauti za SHAKTech143 zaidi ya moja, au iwapo mtumiaji asiyemkazi wa Tanzania anajifanya kuwa ni mtumiajai wa Tanzania, au kuvuruga huduma zetu kwa namna yoyote ile.

Usalama

Tunashauri kuwa kamwe usitoe maelezo binasi kuhusu wewe mwenyewe au mtu mwingine yeyote yule moja kwa moja kwa umma katika jumuiya yoyote ile ya SHAKTech143. Mahitaji ya Kisheria: Usiwasilishe au kubadilishana mchango wowote wa kudhalilisha au ulio kinyume cha sheria kwa namna yoyote ile katika jumuiya za SHAKTech143‘ . Hii inajumuisha maandishi, graphics, picha za sinema, vipindi au sauti. • Maelezo ya mchango kwa SHAKTech143‘ jumuiya yenye lengo la kufanya au kutangaza kitendo kilicho kinyume cha sheria inapigwa marufuku vikali. 

• Unakubali kuwasilisha au kubadilishana na jumuiya za SHAKTech143‘ michango ambayo ni kazi yako halisi tu. Usivunje, kunakili au kukiuka haki za SHAKTech143 au pande nyingine ikiwemo hakimiliki, alama za biashara, siri za kibiashra, faragha, kujitangaza, mtu binafsi au haki za wamiliki. Iwapo Una Umri Chini ya Miaka 16:

• Tafadhali pata idhini ya mzazi au mlezi kabla hujashiriki katika jumuiya zozote zile za SHAKTech143‘.

• Kamwe usitoe maelezo binafsi kuhusu wewe mwenyewe au mtu mwingine yeyote yule (kwa mfano shule, namba ya simu, jina lako kamili, anwani ya nyumbani au anwani ya barua pepe) yaani utambulisho wako kiujumla. 
Iwapo Utakiuka Kanuni Hizi za Jumuiya: Iwapo utakaidi kufuata kanuni hizi za Jumuiya (na/au zinginezo tofauti katika shirika la eneo husika) wakati unashiriki katika SHAKTech143‘ jumuiya ya SHAKTech143 itakutumia ujumbe wa barua pepe unaokufahamisha kwanini mchango wako umekataliwa au kuhaririwa. Ujumbe huu utajumuisha pia onyo kuwa kuendelea kukiuka kanuni hizi kunaweza kusababisha hatua kuchukuliwa dhidi ya akaunti yako au zako. Hatua hii huenda ikajumuisha mchango wowote uliotumwa na wewe kuangaliwa kabla ya kuruhusiwa kwenda katika tovuti au kusitishwa kwa muda au moja kwa moja uwezo wako wa kushiriki katika eneo au maeneo yoyote ya jumuiya za SHAKTech143‘ . Iwapo utawasilisha au kubadilishana mchango wenye kukera au usiokubalika au na jumuiya zozote zile za SHAKTech143‘ au popote pale katika SHAKTech143‘ au vinginevyo kujihusisha katika mwenendo wowote ule wa kuvuruga amani katika SHAKTech143‘ , na SHAKTech143 inafikiria athari za mwenendo kama huo kuwa kubwa au kurudiwa tena, SHAKTech143 huenda ikatumia maelezo yoyote yale yanayopatikana kuzuia ukiukwaji zaidi kutokea. Hii inaweza kuwa ni pamoja na kuzifahamisha pande nyingine kama vile mwajiri, shule au mtoa huduma ya email kuhusu ukiukaji huo. SHAKTech143 ina haki ya kufuta mchango wowote ule,au kuchukua hatua dhidi ya akaunti yoyote ile ya SHAKTech143, wakati wowote, kwa sababu yoyote ile. Kukana na Kupunguza Wigo wa Uwajibikaji 

15. Sehemu kubwa ya mchango unaotumwa katika jumuiya za SHAKTech143‘ inafanywa na umma. Maoni yanayotolewa ni ya kwao na isipokuwa pale imeelezwa vinginevyo maoni hayo si ya SHAKTech143 au SHAKTech143 Media. SHAKTech143 na SHAKTech143 Media haihusiki na mchango wa maelezo yoyote yaliyotumwa na umma katika SHAKTech143‘ au kwa upatikanaji wake au mchango wa tovuti za upande mwingine wowote ule zinazopatikana kupitia SHAKTech143‘ . Viunganishi vyovyote vile kwa upande mwingine wa tovuti kutoka SHAKTech143‘ haimaanishi tovuti hiyo imeidhinishwa na SHAKTech143 au SHAKTech143 Media na matumizi yoyote ya tovuti hiyo ni kwa athari yako mwenyewe. 


16.Hakuna kitu chochote katika masharti haya kinachoiondoleaSHAKTech143 uwajibikaji au lawama juu ya upotevu au maumivu yanayosababishwa na uzembe wake uliothibitibitika. Kwa mujibu wa sentensi iliyotangulia,SHAKTech143 naSHAKTech143 Media haitawajibika kwa upotevu wowote ule au uharibifu ufuatao (iwe uharibifu huo au upotevu huo ulitabirika, kujulikana au vinginevyo):
 (a) kupotea kwa data;
 (b) kupotea kwa mapato au faida iliyotarajiwa;   (c) kupotea kwa biashara;
 (d) kupotea kwa nafasi;
 (e) kupotea kwa nia njema au kuathirika kwa hadhi;
 (f) upotevu ulizoziathiri pande nyingine; au
 (g) matokeo au athari yoyote ile isiyo ya moja kwa moja maalum au uharibifu unaotokana na matumizi ya SHAKTech143‘ bila kujali kuchukuliwa hatua. 

17.SHAKTech143 naSHAKTech143 Media haitoi hakikisho kuwa ufanyaji kazi unaopatikana katika SHAKTech143‘ hautaingiliwa au kutokuwa na makosa, kwamba makosa yatarekebishwa, au kwamba SHAKTech143‘ au seva inayowezesha upatikani wake haiwezi kuwa na virusi. Unakubali kuwa ni wajibu wako kutumia utaratibu unaohitajika na kukagua virusi (ikiwemo kipinga virusi na ukaguzi mwingine wa kiusalama) kutosheleza mahitaji yako maalum kwa usahihi wa data zinazoingia na kutoka. 

18.Kushindwa au kuchelewa kwa SHAKTech143 kutekeleza au kusimamia yoyote kati ya masharti haya haiiondolei SHAKTech143 haki hiyo. 

Dhima


Kwa kupakua na kusanikisha programu za SHAKTech143 zinazoweza kufutikwa (“Dhima ya SHAKTech143”) na kutumia kuonyesha maudhui ya SHAKTech143 (“Maudhui ya SHAKTech143”) kwenye kompyuta yako unakubaliana na masharti yaliyoainishwa hapo chini. Masharti ya Dhima

 3. Waranti & Uwajibikaji 


3.1 Dhima za SHAKTech143 na Maudhui ya SHAKTech143 zinaundwa kwa msingi wa “kama zilivyo” na “kama zinavyopatikana” na unapakua, kusanikisha na kutumia Dhima za SHAKTech143 na kuangalia Maudhui ya SHAKTech143 kwa utashi na madhila yako. 

3.2 SHAKTech143 imechukua tahadhari kuhakikisha kuwa Dhima za SHAKTech143 Widget na Maudhui ya SHAKTech143 kuepusha upungufu, makosa, virusi au hitilafu, hata hivyo SHAKTech143 haisemi kila kitu kitafanya kazi bila matatizo. 

3.3 Kadri inavyoruhusiwa kisheria, SHAKTech143 haitoi kisio la aina yoyote (lidhaniwalo, lazima au vinginevyo) kuhusiana na Dhima ya SHAKTech143, Maudhui ya SHAKTech143 au tovuti ya SHAKTech143 na SHAKTech143 haitahusika kwa hasara yoyote au uharibifu utakaotokana au kuhusishwa na Dhima ya SHAKTech143 au Maudhui ya SHAKTech143. 

3.4 Unashauriwa kuchukua tahadhari zote kulinda kompyuta yako isiambukizwe virusi. 

3.5 SHAKTech143 inaweza kubadilisha Maudhui ya SHAKTech143 kwa utashi wake na inaweza kuzuia matumizi ya Dhima ya SHAKTech143 endapo utakiuka Sheria hizi za Mtumiaji wa Mwisho.

 3.6 Iwapo masharti yoyote katika haya yanaonekana kuwa ni kinyume cha sheria, batili au vinginevyo hayawezekani kutekelezeka kutokana na sababu za kisheria katika nchi au jimbo lolote lile ambako masharti haya yamelengwa kufanya kazi, basi kwa kiwango na ndani ya uwezo wa kisheria ambako masharti hayo ni kinyume na sheria, batili au hayatekelezeki, yatafutwa kutoka katika masharti haya na masharti yaliyobaki yataendelea kuwepo na kutumika. 

3.7 Kushindwa au kuchelewa kwa SHAKTech143 kufanyia kazi au kutekeleza haki yoyote ile katika masharti haya haiondolei SHAKTech143 haki ya kutekeleza haki hiyo. 

3.8 Matumizi ya tovuti ya [SHAKTech143‘] yanahusishwa na masharti na kanuni za Tanzania , ambayo ni lazima yatafsiriwe kulingana na sheria ya Tanzania na kuhusishwa chini ya uwezo wa kipekee wa kimahakama katika mahakama za Kitanzania.

 Hitimisho


Iwapo una maswali maalum kuhusu Masharti ya Matumizi haya, tafadhali tuma ujumbe wa barua pepe email kupitia ukurasa wetu wa mawasiliano hapo chini.

 Vigezo na mashari haya yame hakikiwa tarehe 07/01/2025